Kawaida
Unabashiri matokeo yatakuwaje ndani ya muda wa dakika 90 za mchezo +muda
wa majeruhi(Usindi nyumbani,Suluhu,Ushindi ugenini) muda wa ziada au mikwaju ya penalt haihsabiki.
Nafasi Mbili
Bashiri juu ya matokeo mawili kutokea 1x2
- 1X - timu ya nyumbani kushinda au mechi kuishia na sare
- 12 - ama timu ya nyumbani au timu ya ungenini kushinda mechi
- X2- timu ya ungenini kushinda au mechi kuishia na sare
Handicap
Unabashiri matakeo yatakuwaje ndani ya dakika 90 za mchezo+muda wa majeruhi(Ushindi nyumbani,Sare,Ushindi wa ugenini).
Tofauti pekee kati ya kawaidi na handicap ni kwamba kwenye handi cap timu dhaifu hupewa goli moja.
Mfano:
Mfano:
- Arsenal vs (+1) Liverpooll
- Kawaida 1-1(matokeo ni suluhu)
- Handicap 1-2 (tunaoneza goli kwa Liverpool kama ndio timu dhaifu (Ushindi nyumbani,Suluhu,ushindi ugenini) Kwaiyo Liverpool atakuwa mshindi wa hii mechi
Dakika 45
Unabashiri matokeo
(Ushindi nyumbani,Suluhu,Ushindi ugenini)kwenye hitimisho la dakika 45
za mchezo(Kipindi cha kwanza cha mchezo).
Dakika 45 ya kipindi cha pili
Unabashiri
matokeo yatakayokuwa (Timu ya nyumbani ushindi, Sare, Timu ya ugenini
ushindi) katika hitimisho la dakika 45 za pili za mchezo. (nusu ya muda
ya kipindi cha pili).
Nyingi
Unaweza kuchagua kwa kila mechi aina ya mchezo unaoutaka, lazima ufanye kiwango cha chini cha uchaguzi wa bashiri kiwe mechi 3.
Juu Chini
Una beti baada ya mechi kuisha Jumla ya magoli yawe zaidi ya 2.5 au chini ya magoli 2.5
- ZAIDI = 2.5 MALENGO
- CHINI = -2.5 MALENGO
- Chelsea vs Manchester City 2-1 Jumla ya magoli ni sawa na 3 (2 + 1) hivyo itakuwa (ZAIDI)
- Chelsea vs Manchester City 0-1 Jumla ya magoli ni sawa na 1 (0 + 1) hivyo itakuwa (CHINI)
Juu Chini ya kipindi cha kwanza
Bashiri kama jumla ya magoli katika kipindi cha kwanza ya takuwa juu ya 1.5 au chini ya 1.5
- JUU YA=+1.5 MAGOLI
- CHINI YA=+1.5 MAGOLI
- Chelsea dhidi ya Manchester city 1-1 jumla ya magoli ya takuwa ni 2(1+1) kwa hivyo itakuwa (JUU YA)
- Chelsea dhidi ya Manchester city 0-1 jumla ya magali ya takuwa ni 1 (0+1) kwa hivyo itakuwa (CHINI YA)
Juu ya Chini ya kipindi cha pili
Unabashiri kama jumla ya magoli yatakuwa juu ya magoli 1.5 au chini ya magoli 1.5 katika kipindi cha pili cha mchezo
- JUU YA=+1.5 GOALS
- CHINI YA=-1.5GOALS
- R. Madrid vs Manchester city 1-1 Jumla ya idadi ya magoli ni sawa na 2(1+1) kwa hiyo itakuwa (JUU YA)
- R. Madrid vs Manchester city 0-1 Jumla ya idadi ya magoli ni sawa na 1(0+1) kwa hiyo itakuwa (CHINI YA)
Timu zote zitashinda goli
Unabashiri kama timu zote zitashinda ndani ya dakika 90+muda wa majerehi.
Timu zote zitashinda goli kipindi cha pili
Unabashiri timu zote zitafungana katika hitimisho la kipindi cha pili+dakika za majeruhi
shufwa witiri
Shufwa au Witiri: unabashiri jumla ya magoli ya kipindi cha mwisho wa mpira (dakika 90+muda wa majeruhi)
itakuwa WITIRI au SHUFWA
- Namba WITIRI ni(1,3,5,7,9,11…)
- Namba SHUFWA ni (0,2,4,6,8,10…)
- Manchester City vs Tottenham (Matokeo ya mwisho wa mchezo 2-1) (Magoli 2+1=3) (3 ni Witiri)
- Manchester Utd vs Juventus (Matokeo ya mwisho wa mchezo 4-2) (jumla ya magoli ya mwisho wa mchezo 4+2=6) (6 ni Shufwa)
- Barcelona VS Real Madrid (Matokeo ya mwisho wa mchezo 0-0) (jumla ya magoali 0+0=0) (0 ni shufwa)
